iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Mtoto mwenye umri wa miaka mitano nchini Nigeria amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu na hivi karibuni alishika nafasi ya pili katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3471579    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/01